Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Chuo cha Taifa cha Ulinzi - Tanzania

Mhe. Helen Bawange – Balozi wa Zimbabwe Nchini Tanzania (aliyekaa katikati), katika picha ya pamoja na, Brigedia Jenerali CJ Ndiege – Kaimu Mkuu wa Chuo Cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, Wanakitivo pamoja na Washiriki wa Kozi ya Kumi na Nne tarehe 4 Machi, 2026.