Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, tarehe 15 Aprili, 2026 kimempokea Mhe. Gustavo Martins Nogueira – Balozi wa Brazil nchini Tanzania, aliyefika Chuoni kwa ajili ya kutoa mhadhara kwa Washiriki wa kozi ya kumi na Nne kuhusu Sera ya Mambo ya Nje ya Brazil.
Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, tarehe 15 Aprili, 2026 kimempokea Mhe. Gustavo Martins Nogueira – Balozi wa Brazil nchini Tanzania, aliyefika Chuoni kwa ajili ya kutoa mhadhara kwa Washiriki wa kozi ya kumi na Nne kuhusu Sera ya Mambo ya Nje ya Brazil.
Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, tarehe 15 Aprili, 2026 kimempokea Mhe. Gustavo Martins Nogueira – Balozi wa Brazil nchini Tanzania, aliyefika Chuoni kwa ajili ya kutoa mhadhara kwa Washiriki wa kozi ya kumi na Nne kuhusu Sera ya Mambo ya Nje ya Brazil.