Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi - Tanzania ukiongozwa na Brigedia Jenerali MK Matunda - Afisa Mwandamizi Elekezi Jeshi la Nchi Kavu - 2, ukimsikiliza Bw. Luke Daniel Kifyasi - Mkuu wa kitengo Cha Kilimo, Mifugo na Uvuvi (mwenye shati ya blue), wakati Ujumbe ulipotembelea Kiwanda cha kutengeneza asali wakati wa Ziara ya Kimafunzo tarehe 07 Januari, 2025.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi - Tanzania ukiongozwa na Brigedia Jenerali MK Matunda - Afisa Mwandamizi Elekezi Jeshi la Nchi Kavu - 2, ukimsikiliza Bw. Luke Daniel Kifyasi - Mkuu wa kitengo Cha Kilimo, Mifugo na Uvuvi (mwenye shati ya blue), wakati Ujumbe ulipotembelea Kiwanda cha kutengeneza asali wakati wa Ziara ya Kimafunzo tarehe 07 Januari, 2025.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi - Tanzania ukiongozwa na Brigedia Jenerali MK Matunda - Afisa Mwandamizi Elekezi Jeshi la Nchi Kavu - 2, ukimsikiliza Bw. Luke Daniel Kifyasi - Mkuu wa kitengo Cha Kilimo, Mifugo na Uvuvi (mwenye shati ya blue), wakati Ujumbe ulipotembelea Kiwanda cha kutengeneza asali wakati wa Ziara ya Kimafunzo tarehe 07 Januari, 2025.