Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, kimempokea Mhe. Dkt. Tulia Ackson – Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyefika Chuoni kwa ajili ya kutoa mhadhara kwa Washiriki wa kozi ya kumi na Nne tarehe 17 Octoba, 2025.
Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, kimempokea Mhe. Dkt. Tulia Ackson – Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyefika Chuoni kwa ajili ya kutoa mhadhara kwa Washiriki wa kozi ya kumi na Nne tarehe 17 Octoba, 2025.
Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, kimempokea Mhe. Dkt. Tulia Ackson – Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyefika Chuoni kwa ajili ya kutoa mhadhara kwa Washiriki wa kozi ya kumi na Nne tarehe 17 Octoba, 2025.