Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, kimempokea Mhe. David Akhigbe – Mwakilishi wa Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania, aliyekuja Chuoni kwa ajili ya kutoa mhadhara kwa Washiriki wa Kozi ya kumi na mbili tarehe 09 Aprili 2024.
Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, kimempokea Mhe. David Akhigbe – Mwakilishi wa Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania, aliyekuja Chuoni kwa ajili ya kutoa mhadhara kwa Washiriki wa Kozi ya kumi na mbili tarehe 09 Aprili 2024.
Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, kimempokea Mhe. David Akhigbe – Mwakilishi wa Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania, aliyekuja Chuoni kwa ajili ya kutoa mhadhara kwa Washiriki wa Kozi ya kumi na mbili tarehe 09 Aprili 2024.