Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi ukiongozwa na Brigedia Jenerali CJ Ndiege – Mkufunzi Mwandamizi Elekezi, pia umetembelea Uwanja wa Ndege wa Songwe Mkoani Mbeya wakati wa ziara ya kimafunzo mkoani humo tarehe 08 Januari 2024.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi ukiongozwa na Brigedia Jenerali CJ Ndiege – Mkufunzi Mwandamizi Elekezi, pia umetembelea Uwanja wa Ndege wa Songwe Mkoani Mbeya wakati wa ziara ya kimafunzo mkoani humo tarehe 08 Januari 2024.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi ukiongozwa na Brigedia Jenerali CJ Ndiege – Mkufunzi Mwandamizi Elekezi, pia umetembelea Uwanja wa Ndege wa Songwe Mkoani Mbeya wakati wa ziara ya kimafunzo mkoani humo tarehe 08 Januari 2024.