Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania ukiongozwa na Brigedia Jenerali CJ Ndiege – Mkufunzi Mwandamizi Elekezi Jeshi la Ardhini, umetembelea katika kampuni ya magari ya GF Vehicle Assembler Ltd wakati wa ziara ya kimafunzo mkoani Pwani tarehe 15 Januari 2025.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania ukiongozwa na Brigedia Jenerali CJ Ndiege – Mkufunzi Mwandamizi Elekezi Jeshi la Ardhini, umetembelea katika kampuni ya magari ya GF Vehicle Assembler Ltd wakati wa ziara ya kimafunzo mkoani Pwani tarehe 15 Januari 2025.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania ukiongozwa na Brigedia Jenerali CJ Ndiege – Mkufunzi Mwandamizi Elekezi Jeshi la Ardhini, umetembelea katika kampuni ya magari ya GF Vehicle Assembler Ltd wakati wa ziara ya kimafunzo mkoani Pwani tarehe 15 Januari 2025.