Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi - Tanzania ukiongozwa na Mkuu wa Chuo Balozi Meja Jenerali Wilbert Augustin Ibuge umetembelea ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha kama sehemu ya ziara ya kimafunzo iliyoanza mkoani humo Novemba 10, 2025.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi - Tanzania ukiongozwa na Mkuu wa Chuo Balozi Meja Jenerali Wilbert Augustin Ibuge umetembelea ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha kama sehemu ya ziara ya kimafunzo iliyoanza mkoani humo Novemba 10, 2025.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi - Tanzania ukiongozwa na Mkuu wa Chuo Balozi Meja Jenerali Wilbert Augustin Ibuge umetembelea ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha kama sehemu ya ziara ya kimafunzo iliyoanza mkoani humo Novemba 10, 2025.