Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi ukiongozwa na Meja Jenerali WA Ibuge – Mkuu wa Chuo umetembelea katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire ikiwa ni sehemu ya ziara ya kimafunzo iliyofanywa na chuo mkoani humo tarehe 14 Novemba 2023.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi ukiongozwa na Meja Jenerali WA Ibuge – Mkuu wa Chuo umetembelea katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire ikiwa ni sehemu ya ziara ya kimafunzo iliyofanywa na chuo mkoani humo tarehe 14 Novemba 2023.
Ujumbe wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi ukiongozwa na Meja Jenerali WA Ibuge – Mkuu wa Chuo umetembelea katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire ikiwa ni sehemu ya ziara ya kimafunzo iliyofanywa na chuo mkoani humo tarehe 14 Novemba 2023.